Marekani imesababisha bei ya mafuta kupanda duniani ndani ya saa 24
on

Taarifa iliyochapishwa kwenye BBC World News ni kuwa bei ya mafuta imepanda duniani ndani ya saa 24 baada ya Marekani kuishambulia kambi hiyo na kuzifanya nchi zinazozalisha mafuta kusitisha zoezi la kusafirisha bidhaa hiyo kwa hofu ya machafuko.
Shambulio hili linakuwa la kwanza kufanywa na Donald Trump tangu achaguliwe kuwa Rais wa Marekani November 2016

Comments
Post a Comment