![](https://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2017/04/2B23B65B00000578-0-image-a-30_1439465456053.jpg?resize=634%2C400)
Neymar amefungiwa mechi tatu, mechi moja ni kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano wakati wa mchezo dhidi ya Malaga uliyomalizika kwa FC Barcelona kupoteza kwa magoli mawili kwa 2-0 lakini mechi ya mbili kwa kosa la kumpongeza kwa kejeli fourth official wakati anatoka nje ya uwanja.
Comments
Post a Comment