Skip to main content

Mwimbaji Mtanzania anayewania tuzo BET Awards 2017


Majina ya wanaowania tuzo za BET 2017 tayari yametoka saa kadhaa zilizopita ambapo na Tanzania pia imetajwa kwenye orodha kupitia kwa Mwimbaji wa Bongofleva kutoka kundi la WCB Rayvanny.
Raymond ametajwa kuwania tuzo kwenye kipengele cha Best International Views Choices akiwa ni Msanii pekee kutoka Afrika kuwania tuzo kwenye kipengele hicho akishindanishwa na Wasanii wengine sita kutoka Marekani, Ulaya na Asia kama unavyoweza kujionea kwenye list hapa chini.

Best Female R&B/Pop Artist
BEYONCÉ
KEHLANI
MARY J. BLIGE
RIHANNA
SOLANGE
Best Male R&B/Pop Artist
BRUNO MARS
CHRIS BROWN
THE WEEKND
TREY SONGZ
USHER
Best Group
2 CHAINZ & LIL WAYNE
A TRIBE CALLED QUEST
FAT JOE & REMY MA
MIGOS
RAE SREMMURD
Best Collaboration
BEYONCÉ FT. KENDRICK LAMAR – FREEDOM
CHANCE THE RAPPER FT. 2 CHAINZ & LIL WAYNE – NO PROBLEM
CHRIS BROWN FT. GUCCI MANE & USHER – PARTY
DJ KHALED FT. BEYONCÉ & JAY Z – SHINING
MIGOS FT. LIL UZI VERT – BAD AND BOUJEE
RAE SREMMURD FT. GUCCI MANE – BLACK BEATLES
Best Male Hip-Hop Artist
BIG SEAN
CHANCE THE RAPPER
DRAKE
FUTURE
J. COLE
KENDRICK LAMAR
Best Female Hip-Hop Artist
CARDI B
MISSY ELLIOTT
NICKI MINAJ
REMY MA
YOUNG M.A.
Video of the Year
BEYONCÉ – SORRY
BIG SEAN – BOUNCE BACK
BRUNO MARS – 24K MAGIC
MIGOS FT. LIL UZI VERT – BAD AND BOUJEE
SOLANGE – CRANES IN THE SKY
Video Director of the Year
BENNY BOOM – KEHLANI “CRZY”
BRUNO MARS & JONATHAN LIA – BRUNO MARS “THAT’S WHAT I LIKE”
DIRECTOR X – ZAYN MALIK “LIKE I WOULD”
HYPE WILLIAMS – TYGA “GUCCI SNAKES FT. DESIIGNER”
KAHLIL JOSEPH & BEYONCÉ KNOWLES-CARTER – BEYONCÉ “SORRY”
Best New Artist
21 SAVAGE
CARDI B
CHANCE THE RAPPER
KHALID
YOUNG M.A.
Album of the Year
24K MAGIC – BRUNO MARS
4 YOUR EYEZ ONLY – J. COLE
A SEAT AT THE TABLE – SOLANGE
COLORING BOOK – CHANCE THE RAPPER
LEMONADE – BEYONCÉ
Dr. Bobby Jones Best Gospel/Inspirational Award
CECE WINANS – NEVER HAVE TO BE ALONE
FANTASIA FT. TYE TRIBBETT – I MADE IT
KIRK FRANKLIN FT. SARAH REEVES, TASHA COBBS & TAMELA MANN – MY WORLD NEEDS YOU
LECRAE – CAN’T STOP ME NOW (DESTINATION)
TAMELA MANN – GOD PROVIDES
Best Actress
GABRIELLE UNION
ISSA RAE
JANELLE MONÁE
TARAJI P. HENSON
VIOLA DAVIS
Best Actor
BRYSHERE Y. GRAY
DENZEL WASHINGTON
DONALD GLOVER
MAHERSHALA ALI
OMARI HARDWICK
YoungStars Award
ACE HUNTER
CALEB MCLAUGHLIN
JADEN SMITH
MARSAI MARTIN
YARA SHAHIDI
Best Movie
FENCES
GET OUT
HIDDEN FIGURES
MOONLIGHT
THE BIRTH OF A NATION
Sportswoman of the Year Award
GABBY DOUGLAS
SERENA WILLIAMS
SIMONE BILES
SKYLAR DIGGINS
VENUS WILLIAMS
Sportsman of the Year Award
CAM NEWTON
LEBRON JAMES
ODELL BECKHAM JR.
RUSSELL WESTBROOK
STEPHEN CURRY
Centric Award
FANTASIA – SLEEPING WITH THE ONE I LOVE
KEHLANI – DISTRACTION
MARY J. BLIGE – THICK OF IT
SOLANGE – CRANES IN THE SKY
SYD – ALL ABOUT ME
YUNA – CRUSH FT. USHER
Coca-Cola Viewers’ Choice Award
BEYONCÉ – SORRY
BRUNO MARS – 24K MAGIC
DRAKE – FAKE LOVE
MIGOS FT. LIL UZI VERT – BAD AND BOUJEE
RAE SREMMURD FT. GUCCI MANE – BLACK BEATLES
THE WEEKND FT. DAFT PUNK – STARBOY
Best International Act: Europe
BOOBA (France)
MHD (France)
CRAIG DAVID (UK)
EMELI SANDÉ (UK)
GIGGS (UK)
SKEPTA (UK)
STORMZY (UK)
WILEY (UK)
Best International Act: Africa
AKA (South Africa)
BABES WODUMO (South Africa)
DAVIDO (Nigeria)
NASTY C (South Africa)
STONEBWOY (Ghana)
TEKNO (Nigeria)
WIZKID (Nigeria)
MR EAZI (Nigeria)
Best International Viewers Choice Awards
Rayvanny (Tanzania)
Dave (UK)
Amanda Black (SA)
Changmo  (South Korea)
Daniel Caesar
Remi
Skip Marley
@millardayo.com

Comments

Popular posts from this blog

KILIMO BORA CHA MIGOMBA

  Na Daniel Mbega,   MaendeleoVijijini KWA miaka mingi ndizi ndilo zao kuu la chakula mkoani Kagera, na sasa limekuwa zao la biashara kwa baadhi ya wilaya kama Karagwe na Muleba. Ndizi zinasafirishwa kwa wingi kwenda mikoa mingine ndani na nje ya Kanda ya Ziwa na zinaonekana kupendwa na walaji wengi, hasa ‘Ndizi Bukoba’. Ndizi zinatokana na migomba. MaendeleoVijijini   inafahamu kwamba, japokuwa kuna mazao mengine yanayolimwa Kagera kama kahawa, mahindi, maharage, mikunde, viazi vitamu, viazi mviringo, viazi vikuu, njugu mawe, karanga, nyanya, machungwa, mapera na mananasi , lakini migomba ndilo zao linaloongoza kwa chakula. Mbali ya Kagera, migomba hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Morogoro, Tanga, Mbeya, Kigoma na Mara. Taarifa ambazo MaendeleoVijijini inazo zinaonyesha kwamba, wastani wa uzalishaji wa ndizi nchini Tanzania ni tani 665,000 kwa mwaka. Matumizi:   Matumizi makuu ya ndizi ni chakula – wenyeji wa Kagera hutumia...

Jinsi Ya Kuondokana na Umaskini

Kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine kuna changamoto ambazo zinamkabili kuweza kupata mafanikio zaidi. Na hizo changamoto ndizo ambazo tunaziita kifungo cha umaskini, kwani kifungo hicho kinampelekea mtu huyohuyo kutokuwa na uhuru wa kipato, muda na kifikra. Na kifungo hicho si kingine bali ni "uongo binafsi" hata hivyo tumia muda huu ili kusoma makala mwanzo mpaka mwisho haya utakwenda kujua kwa undani maana ya kifungo hicho. ''If you want to success don't lie yourself'' ikiwa na maana ukitaka kufanikiwa usijidanganye mwenyewe. Msemo huu huwa naukumbuka sana kwani nilikutana nao katika pekuapekua zangu japo sikumbuki ni wapi hapo, ila naomba maana ipaki pale pale ili wabantu wenzangu na wasio wabantu waweze kuulewa msemo huo. Niende moja moja kwa kujikita katika msemo huo, kwani msemo huo unayagusa maisha ya kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine matharani wewe unayesoma makala haya. Mara kadhaa maisha yetu yame...

KILIMO CHA KISASA CHA MPUNGA

Utangulizi Mpunga ni zao la pili la chakula kwa umuhimu linalolimwa sehemu nyingi nchini Tanzania. Umuhimu wa zao hili umeongezeka kuanzia muongo uliopita kutokana na jamii za mijini na vijijini kupendelea zaidi kula wali na kupunguza ulaji wa vyakula vingine na kulifanya zao hili kuwa la chakula na biashara. Mvua ni chanzo kikuu cha maji kwenye kilimo cha mpunga. Viwango vya mahitaji ya maji katika kukua kwa mpunga hutofautiana miongoni mwa aina za mpunga. Ni kwa jinsi hii mpunga hupandwa katika mazingira mbalimbali kutegemea na mahitaji yake ya maji. Zipo aina tatu kuu za mazingira yanayolimwa mpunga kulingana na upatikanaji wa maji na hali ya mwinuko wa nchi. Mazingira haya ni kilimo cha mpunga wa mabondeni kinachotegemea mvua (72%), kilimo cha mpunga wa kwenye miinuko (20%) na kilimo cha mpunga cha umwagiliaji (8%). Kiasi cha mpunga kinachozalishwa nchini kimekuwa kikiongezeka mwaka hadi mwaka kutoka tani 41,000 mwaka 1970 hadi tani 811,500 mwaka 1998. Ongezeko hi...