Skip to main content

Mwimbaji Mtanzania anayewania tuzo BET Awards 2017


Majina ya wanaowania tuzo za BET 2017 tayari yametoka saa kadhaa zilizopita ambapo na Tanzania pia imetajwa kwenye orodha kupitia kwa Mwimbaji wa Bongofleva kutoka kundi la WCB Rayvanny.
Raymond ametajwa kuwania tuzo kwenye kipengele cha Best International Views Choices akiwa ni Msanii pekee kutoka Afrika kuwania tuzo kwenye kipengele hicho akishindanishwa na Wasanii wengine sita kutoka Marekani, Ulaya na Asia kama unavyoweza kujionea kwenye list hapa chini.

Best Female R&B/Pop Artist
BEYONCÉ
KEHLANI
MARY J. BLIGE
RIHANNA
SOLANGE
Best Male R&B/Pop Artist
BRUNO MARS
CHRIS BROWN
THE WEEKND
TREY SONGZ
USHER
Best Group
2 CHAINZ & LIL WAYNE
A TRIBE CALLED QUEST
FAT JOE & REMY MA
MIGOS
RAE SREMMURD
Best Collaboration
BEYONCÉ FT. KENDRICK LAMAR – FREEDOM
CHANCE THE RAPPER FT. 2 CHAINZ & LIL WAYNE – NO PROBLEM
CHRIS BROWN FT. GUCCI MANE & USHER – PARTY
DJ KHALED FT. BEYONCÉ & JAY Z – SHINING
MIGOS FT. LIL UZI VERT – BAD AND BOUJEE
RAE SREMMURD FT. GUCCI MANE – BLACK BEATLES
Best Male Hip-Hop Artist
BIG SEAN
CHANCE THE RAPPER
DRAKE
FUTURE
J. COLE
KENDRICK LAMAR
Best Female Hip-Hop Artist
CARDI B
MISSY ELLIOTT
NICKI MINAJ
REMY MA
YOUNG M.A.
Video of the Year
BEYONCÉ – SORRY
BIG SEAN – BOUNCE BACK
BRUNO MARS – 24K MAGIC
MIGOS FT. LIL UZI VERT – BAD AND BOUJEE
SOLANGE – CRANES IN THE SKY
Video Director of the Year
BENNY BOOM – KEHLANI “CRZY”
BRUNO MARS & JONATHAN LIA – BRUNO MARS “THAT’S WHAT I LIKE”
DIRECTOR X – ZAYN MALIK “LIKE I WOULD”
HYPE WILLIAMS – TYGA “GUCCI SNAKES FT. DESIIGNER”
KAHLIL JOSEPH & BEYONCÉ KNOWLES-CARTER – BEYONCÉ “SORRY”
Best New Artist
21 SAVAGE
CARDI B
CHANCE THE RAPPER
KHALID
YOUNG M.A.
Album of the Year
24K MAGIC – BRUNO MARS
4 YOUR EYEZ ONLY – J. COLE
A SEAT AT THE TABLE – SOLANGE
COLORING BOOK – CHANCE THE RAPPER
LEMONADE – BEYONCÉ
Dr. Bobby Jones Best Gospel/Inspirational Award
CECE WINANS – NEVER HAVE TO BE ALONE
FANTASIA FT. TYE TRIBBETT – I MADE IT
KIRK FRANKLIN FT. SARAH REEVES, TASHA COBBS & TAMELA MANN – MY WORLD NEEDS YOU
LECRAE – CAN’T STOP ME NOW (DESTINATION)
TAMELA MANN – GOD PROVIDES
Best Actress
GABRIELLE UNION
ISSA RAE
JANELLE MONÁE
TARAJI P. HENSON
VIOLA DAVIS
Best Actor
BRYSHERE Y. GRAY
DENZEL WASHINGTON
DONALD GLOVER
MAHERSHALA ALI
OMARI HARDWICK
YoungStars Award
ACE HUNTER
CALEB MCLAUGHLIN
JADEN SMITH
MARSAI MARTIN
YARA SHAHIDI
Best Movie
FENCES
GET OUT
HIDDEN FIGURES
MOONLIGHT
THE BIRTH OF A NATION
Sportswoman of the Year Award
GABBY DOUGLAS
SERENA WILLIAMS
SIMONE BILES
SKYLAR DIGGINS
VENUS WILLIAMS
Sportsman of the Year Award
CAM NEWTON
LEBRON JAMES
ODELL BECKHAM JR.
RUSSELL WESTBROOK
STEPHEN CURRY
Centric Award
FANTASIA – SLEEPING WITH THE ONE I LOVE
KEHLANI – DISTRACTION
MARY J. BLIGE – THICK OF IT
SOLANGE – CRANES IN THE SKY
SYD – ALL ABOUT ME
YUNA – CRUSH FT. USHER
Coca-Cola Viewers’ Choice Award
BEYONCÉ – SORRY
BRUNO MARS – 24K MAGIC
DRAKE – FAKE LOVE
MIGOS FT. LIL UZI VERT – BAD AND BOUJEE
RAE SREMMURD FT. GUCCI MANE – BLACK BEATLES
THE WEEKND FT. DAFT PUNK – STARBOY
Best International Act: Europe
BOOBA (France)
MHD (France)
CRAIG DAVID (UK)
EMELI SANDÉ (UK)
GIGGS (UK)
SKEPTA (UK)
STORMZY (UK)
WILEY (UK)
Best International Act: Africa
AKA (South Africa)
BABES WODUMO (South Africa)
DAVIDO (Nigeria)
NASTY C (South Africa)
STONEBWOY (Ghana)
TEKNO (Nigeria)
WIZKID (Nigeria)
MR EAZI (Nigeria)
Best International Viewers Choice Awards
Rayvanny (Tanzania)
Dave (UK)
Amanda Black (SA)
Changmo  (South Korea)
Daniel Caesar
Remi
Skip Marley
@millardayo.com

Comments

Popular posts from this blog

Njia 3 za kuagana na maumivu ya jino haraka

Kwa kawaida hushauriwa kuwaona wataalam wa meno pale unapopata maumivu makali ya meno, lakini zipo njia za asili kadhaa ambazo huweza kupunguza ukali wa maumivu ya meno. Kama wengi wetu tunavyofahamu mara nyingi maumivu ya meno hutokea zaidi nyakati za usiku ambapo unakuwa huwezi kabisa kufika hospitali kwa ajili ya kuwaona wataalam wa meno au kung'oa kabisa na ndio maana leo nimeona nikufundishe mbinu hizi ya kupunguza maumivu hayo wakati ukisubiri kukuche ili ufike hospitali. 1. Kwanza kabisa unaweza kutumia kitunguu swaumu Hiki ni kiungo ambacho huweza kufananishwa na antibiotic kutokana na uwezo wake wa kuua vijidudu haraka. Unachopaswa kufanya ni kusaga kitunguu swaumu chako kisha changanya na chumvi kiasi halafu tumia mchanganyiko huo kwa kuweka moja kwa moja kwenye jino lenye maumivu au tatizo. 2. Pia unaweza kutumia kitunguu maji Hiki utakitafuna taratibu hususani  kwenye eneo lenye jino ambalo linasababisha maumivu kwa wakati huo, lakini pia kama kuta...

Faida 27 Za Kiafya Zipatikanazo Kwa Kutumia Asali Na Mdalasini

MDALASINI NA ASALI Asali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na magonjwa na matatizo yatokanayo na uzee. Sasa hivi, utafiti mpya umeonyesha kwamba uwezo wa asali unaweza kuongezwa maradufu kama itachanganywa na mdalasini wa kawaida. Uchunguzi wa kina ufanywao kwa wiki na jarida la World News wa Tiba, wataalamu wa madawa yatokanayo na mimea pamoja na kijarida cha afya na lishe, imeonekana kwamba kuna dazani nyingi za umuhimu wa asali na mdalasini pamoja na michanganyiko {dawa} ya kusisimua iletayo afya bora. Kama ifuatayo: 1. Ugonjwa wa Viungo/Maumivu na Uvimbe {ARTHRITIS}. Wataalamu wa lishe wanapendekeza kuchukua kwa kutumia mchanganyiko wa sehemu moja ya asali pamoja na sehemu mbli za maji vuguvugu na kijiko kimoja {cha chai} chenye mdalasini - na kuchua sehemu zilizoathirika. Nafuu hupatikana katika muda wa dakika moja. Vinginevyo tengeneza chai-kikombe kimoja chenye maji moto, weka vijiko vya chakula -viwili vya as...

Jinsi Ya Kuondokana na Umaskini

Kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine kuna changamoto ambazo zinamkabili kuweza kupata mafanikio zaidi. Na hizo changamoto ndizo ambazo tunaziita kifungo cha umaskini, kwani kifungo hicho kinampelekea mtu huyohuyo kutokuwa na uhuru wa kipato, muda na kifikra. Na kifungo hicho si kingine bali ni "uongo binafsi" hata hivyo tumia muda huu ili kusoma makala mwanzo mpaka mwisho haya utakwenda kujua kwa undani maana ya kifungo hicho. ''If you want to success don't lie yourself'' ikiwa na maana ukitaka kufanikiwa usijidanganye mwenyewe. Msemo huu huwa naukumbuka sana kwani nilikutana nao katika pekuapekua zangu japo sikumbuki ni wapi hapo, ila naomba maana ipaki pale pale ili wabantu wenzangu na wasio wabantu waweze kuulewa msemo huo. Niende moja moja kwa kujikita katika msemo huo, kwani msemo huo unayagusa maisha ya kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine matharani wewe unayesoma makala haya. Mara kadhaa maisha yetu yame...